Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Wafanyabiashara nchini Tanzania TNBC,Raymond Mbilinyi.
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.