Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani Mungi.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Iringa Bw. Ramadhan Mungi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jana wakati akitangaza uteuzi wa Mawaziri waliobaki baada ya uteuzi wa kwanza.