Wazee mbalimbali wa chama na wastaafu wakiwa katika ukumbi huo ili wakimsikiliza Rais.
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Philemon Luhanjo.
Taifa Stars na Harambee Stars
Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. William Tate Ole Nasha,
Kamanda wa polisi Mkoa wa Morogoro Leonard Paulo akiongelea tukio la kuchomwa kwa kituo cha Polisi.