Mshambuliaji tegemeo wa timu ya Simba Emmanuel Okwi akiwatoka mabeki wa Mtibwa
14 Mar . 2015
Wachezaji wa Simba wakimpongeza Emmanuel Okwi baada ya kufunga bao pekee la ushindi
9 Nov . 2014

Mshambuliaji wa Simba Mganda Emmanuel Okwi.
7 Sep . 2014
Mshambuliaji hatari wa timu ya Simba Mganda Emmanuel Okwi akimpiga chenga beki wa Gor Mahia ya Kenya.
6 Sep . 2014
Mshambuliaji Mganda Emmanuel Okwi akitambulishwa na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zakaria Hans Pope.
28 Aug . 2014

Wachezaji Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi wakishangilia, ambapo mmoja wao atatupiwa vilago msimu huu
25 Jul . 2014