Rais Kikwete akihutubia watanzania katika Sherehe za siku ya wafanyakazi duniani Mei Mosi
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.