Aliyewahi kuwa mbunge wa Busega Raphael Chegeni akisalimiana na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Edward Lowassa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye