Baadi ya wachezaji wakichuana katika moja ya michuano ya mpira wa wavu.
Jeshi Stars waliingia kwenye 'grand finale' ya leo wakiwa sio tu hawajapoteza mchezo, bali hawajapoteza hata seti moja.
Ditram Nchimbi
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union