Baadi ya wachezaji wakichuana katika moja ya michuano ya mpira wa wavu.
Jeshi Stars waliingia kwenye 'grand finale' ya leo wakiwa sio tu hawajapoteza mchezo, bali hawajapoteza hata seti moja.
Jerry William Silaa, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwenye maadhimisho miaka 30 ya CRDB
Mashabiki wakiwa uwanjani