Mmoja wa Watoto kutoka shule ya Msingi Mariado Primary, Gifti Gervas
Afisa Uendeshaji wa Taasisi ya Under The Same Sun Gamariel Mboya (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo Bi. Vicky Ntetema.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.