Serikali yaita kikao kizito kuamua Kariakoo Derby

Kwa mujibu wa Mwananchi Newspaper Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amepanga kukutana viongozi wa Shirikisho la Soka la nchini (TFF), Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPLB) na Klabu ya Yanga ili kutatua mgogoro unaoendelea

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS