Mambo 5 katika hotuba ya Rais Samia
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge Ijumaa ya Juni 27 ambapo pamoja na hotuba hiyo alitangaza tarehe ya kuvunjwa Bunge rasmi kuwa ni Agosti 3, 2025, kwenye hotuba yake Rais Samia aliweka bayana mambo muhimu ambayo ameyatekeleza kwenye kipindi