Wasanii Wazindua kampeni nzito

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Nikki wa Pili kutoka kundi la Weusi leo hii ameitisha mkutano wa wasanii na waandishi wa habari kuhamasisha wasanii kutambulika kikatiba na pia kuingizwa kwa sheria ya hakimiliki ya kazi za wasanii katika Katiba mpya pamoja na kuzindua kampeni ya kitaifa kuimiza wasanii kutambulika kikatiba..pamoja na haki bunifu pia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS