Jux amkana Jackie?

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Jux kutoka Wakacha, kufuatia tetesi zisizo rasmi ambazo zimekuwa zinaendelea kwa muda kuhusiana na mahusiano yake ya kimapenzi, huku akitajwa kuwa na mahusiano na mwanadada Jackie Cliff, ameamua kutoa maelezo yake rasmi juu ya ishu nzima ya mahusiano yake ilivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS