UB40 Kuwarusha SA
Kundi kongwe la muziki la UB40, linatarajia kutambulisha ujio wake mpya huko Afrika Kusini mwezi April Mwaka huu, likiwa na timu mpya katika bendi ikiongozwa na wasanii watatu Astro, Mickey Virtue na Ali Campbell ambao ni miongoni mwa wanamuziki walioanzisha Bendi hii.