Happiness akubali 'Kikaango', Ataka watu kujiamini
Kikaangoni Live ya ukurasa wa Facebook wa EATV leo hii imewakutanisha wapenzi wa ukurasa pamoja na mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania kwa sasa, Happiness Watimanywa, na kutoka nafasi nyingine kwenu kuuliza maswali mbalimbali kumhusu yeye.