Wizara yawaonya mawakala binafsi wa ajira Waziri wa kazi na ajira nchini Tanzania Bi. Gaudensia Kabaka Wizara ya Kazi na Ajira nchini Tanzania imesema, itasitisha huduma kwa wakala binafsi wa huduma za ajira nchini watakaoshindwa kukidhi vigezo walivyopewa ifikapo mwisho wa mwezi huu. Read more about Wizara yawaonya mawakala binafsi wa ajira