Tanzania Yatinga Fainali Brazil

Baadhi ya wachezaji wanaounda kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kwa watoto wa mitaani.

Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetinga fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuichapa Marekani mabao 6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali uliochezwa jana (Aprili 5 mwaka huu) jijini Rio de Janei

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS