Wahamiaji wengi nchini wanatokea Burundi-serikali

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mathias Chikawe.

Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu nchini kutoka katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki huku nchi ya Burundi ikiongoza kutokana na mahitaji mbalimbali ikiwa ni pamoja na ya kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS