Miyeyusho kujipanga upya.

Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.

Nilitaka kupumzika baada ya pambano langu na bondia wa Thailand, lakini isingekuwa vyema kupumzika baada ya kupigwa. Hivyo baada ya kushinda pambano langu na Mohamed Matumla, nikaona ngoja npumzike, hata meneja wangu alinishauri hivyo"

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS