Miyeyusho kujipanga upya.
Nilitaka kupumzika baada ya pambano langu na bondia wa Thailand, lakini isingekuwa vyema kupumzika baada ya kupigwa. Hivyo baada ya kushinda pambano langu na Mohamed Matumla, nikaona ngoja npumzike, hata meneja wangu alinishauri hivyo"
