Sugu amfikisha Faiza kortini

Mheshimiwa Joseph Mbilinyi akiwa Bungeni

Joseph Mbilinyi ' Sugu' amemfikisha kortini aliyekuwa mkewe, Faiza Ally, akitaka apewe mtoto wao, Sasha mwenye umri wa miaka miwili, amlee maana mama yake si muadilifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS