Daddy Owen aisikitikia Gikomba

Daddy Owen

Staa wa muziki Daddy Owen kutoka nchini Kenya, ameonesha kuguswa na tukio la moto kuteketeza soko la Gikomba hii leo huko Nairobi, hii ikiwa si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS