Kikosi U 15 chaingia kambini chini ya kocha Shime

Kikosi cha vijana chini ya miaka 15 kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya kombaini ya umri chini ya miaka 15 ya mkoa wa Mbeya utakaofanyika siku ya Jumapili chini ya Kocha Mkuu Bakari Shime.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS