Wadau toeni sapoti kwa wasanii wachanga: RECHO

RECHO

Video Queen wa Kibongo na Msanii wa filamu kutoka nchini Tanzania Rechel Njingo amechaguliwa kushiriki katika tuzo za Nyambago Awards kama Best Actress kutoka Central Zone kupitia movies yake ya Clarita ambayo inafanya vizuri kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS