Kabaka,Nyangwine waangushwa kura za maoni Tarime

Waziri wa Kazi na Ajira ambae pia alikua anagombania kupitishwa kugombea Jimbo la Tarime Mjini Gaudensia Kabaka akizungumza katika moja ya mikutano na Umoja wa Madereva

Hatimaye wanachama wa CCM katika majimbo mawili ya wilayani Tarime Mkoani Mara wamepiga kura za maoni baada ya kuharishwa kwa siku mbili mfululizo huku waziri wa kazi na ajira mh gaudentia kabaka na Mh nyambari Nyangwine wakiangushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS