Ondoeni adha ya huduma kwa TEHAMA: Mapunda

Mkurugenzi wa TEHAMA Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Priscus Kiwango.

Watumishi wa serikali wametakiwa kutumia teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kuwahudumia wananchi ili kuondoa adha ya upatikanaji wa huduma hizo ambazo hulazimika kuzifuata kwenye ofisi za serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS