Wadau watakiwa kutumia mifumo ya Kielektroniki
Watumiaji wa Bandari ya Dar es Salaam wametakiwa kuongeza kasi ya utumiaji wa mifumo ya kilektroniki kulipia huduma zinazotlewa katika mamlaka hiyo ili kuongerza ufanisi wa kazi na kuondoa ucheleweshaji wa uondoaji wa Mizigo.