CCM, yawekewa pingamizi la ubunge Njombe

Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Ally Mhagama.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimemuwekea pingamizi mgombea wa Chama cha Mapindusi CCM, kiti cha ubunge jimbo la Njombe Kusini Edward Mwalongo, na kusema kuwa hawana imani na msimamizi wa uchaguzi msaidizi wa jimbo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS