Wadau watakiwa kutumia mifumo ya Kielektroniki

Kaimu Meneja Bandari ya Dar es Salaam (kushoto), Bw.Hebel Mhanga akifafanua jambo wakati wa kikao kati ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) na wadau

Watumiaji wa Bandari ya Dar es Salaam wametakiwa kuongeza kasi ya utumiaji wa mifumo ya kilektroniki kulipia huduma zinazotlewa katika mamlaka hiyo ili kuongerza ufanisi wa kazi na kuondoa ucheleweshaji wa uondoaji wa Mizigo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS