Wanawake watakiwa kujitokeza kugombea Uongozi

Mmmoja wa Wanawake akiwa katika mdahalo wa kuelemisha juu ya Uongozi katika Kijiji

Wanawake wanaowania uongozi katika nafasi ya udiwani wa kata na viti maalum katika halmashauri ya wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kujiamini na kujitokeza katika kuwania nafasi hizo kwa kuwa wanaweza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS