UKAWA bado hakijaeleweka Mtwara,waandishi matatani

Mmoja wa Wenyeviti Wenza wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA ,James Mbatia akiongeza na waandishi wa habari.

CHAMA cha Waaandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) kimefanikiwa kuwakutanisha na kumaliza mvutano uliokuwepo awali juu ya chama gani kimepewa ridhaa ya kusimamisha mgombea ubunge katika jimbo la Mtwara mjini na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS