Wagonjwa wa Matende kufanyiwa upasuaji Mtwara

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Dr. Mwele Malecela

Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya Matende na Mabusha katika manispaa ya Mtwara Mikindani, wameishukuru wizara ya afya na ustawi wa jamii kwa kuzindua kambi ya kufanyia upasuaji , kupitia mpango wa magonjwa yasiyopewa kipaombele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS