Wagonjwa wa Matende kufanyiwa upasuaji Mtwara
Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya Matende na Mabusha katika manispaa ya Mtwara Mikindani, wameishukuru wizara ya afya na ustawi wa jamii kwa kuzindua kambi ya kufanyia upasuaji , kupitia mpango wa magonjwa yasiyopewa kipaombele.

