Nipo tayari kupiga kura, nasubiri tu Octoba ifike. Tanzania mwaka 2015 ni mwaka wamabadiliko, Tuwe makini kura zetu zisipotee bure, kura yako ni muhimu sana katika kumpata kiongozi mchapakazi. Read more about Nipo tayari kupiga kura, nasubiri tu Octoba ifike.