UKAWA hakijaeleweka Mtwara, NCCR wampinga Duni

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Juma Haji Duni.

Chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mtwara kimepinga maamuzi ya kupewa jimbo la Mtwara mjini kwa(CUF) kusimamisha mgombea ubunge kupitia (UKAWA), yaliyotolewa na Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Juma Haji Duni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS