UKAWA hakijaeleweka Mtwara, NCCR wampinga Duni
Chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mtwara kimepinga maamuzi ya kupewa jimbo la Mtwara mjini kwa(CUF) kusimamisha mgombea ubunge kupitia (UKAWA), yaliyotolewa na Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Juma Haji Duni.

