Yanga kuelekea Mbeya kesho, kucheza na Zesco

Mabingwa wa Ligi kuu Soka Tanzania Bara, Timu ya Yanga wanatarajia kuondoka hapo kesho kuelekea Mjini Mbeya kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya mechi ya Ngao ya jamii inayotarajiwa kuchezwa Agosti 22 mwaka huu Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS