Bobi Wine ajifua kwa ndondi
Msanii wa Uganda Bobi Wine ambaye kwa upande wa pili ana mapenzi na kipaji cha mchezo wa ndondi, ameonekana katika siku za karibuni akijifua kwa mazoezi makali ya mchezo huo, na kuchochea uvumi wa tetesi kuwa ana mpango wa kurejea rasmi ulingoni.

