Wadau wa soka wapongeza kiwango bora Taifa Stars

Kikosi kamili cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kilichoivaa Nigeria jana.

Pamoja na matokeo ya suluhu ya 0-0 katika mchezo wa jana kwa Stars dhidi ya Nigeria wadau wa michezo kote nchini wameonyesha matumaini kwa kikosi cha stars katika mechi zijazo kama kikosi hicho kitaungwa mkono na kitaandaliwa vizuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS