Mrema asema UKAWA umepoteza mwelekeo

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema

Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS