Fredy anyakua milioni 1 Fantasy League

Mshindi wa milioni 1, Fredy Joseph Komba katika shindano la Fantasy League linalochezeshwa na East Africa Radio,

Mshindi wa milioni 1 wa mwezi Agosti, katika shindano la Fantasy League linalochezeshwa na East Africa Radio, Fredy Joseph Komba amesema ameshinda mkwanja huo kwa kuwa alikuwa akifahamu wachezaji wengi wanaocheza soka Uingereza na Hispania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS