Shani, Junior na Kahi waasa vijana

Wasanii wa kike wanaorap kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi

Wasanii wa kike wanao 'rap' kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi wanaofanya kazi kama kundi chini ya
The P 31 Project wametua hapa nchini kutangaza kazi yao inayokwenda kwa jina 'Its Time'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS