Wasanii wa kike wanaorap kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi
Wasanii wa kike wanao 'rap' kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi wanaofanya kazi kama kundi chini ya
The P 31 Project wametua hapa nchini kutangaza kazi yao inayokwenda kwa jina 'Its Time'.