Wazazi watakiwa kuwekeza katika elimu

Baadhi ya wanafunzi kutoka Shule za Chang'ombe, Ruvu Sekondari, IST, Kibasila, Loyola na TEYODEN wakifuatilia mafunzo

Wazazi nchini wametakiwa kuwawekeza watoto wao katika sekta ya elimu ili kuhakikisha watoto wanapata elimu bora itakayowawezesha kuwa mabalozi wazuri wa nchi yao sambamba na kujiwekea utaratibu mzuri wa maisha yao ya hapo baadaye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS