K.O atua Tanzania kwa kishindo

Rapa K.O kutoka Afrika Kusini akiwa katika mahojiano na crew ya EATV

Baada ya kudondoka rasmi Tanzania, Rapa K.O. kutoka Afrika Kusini atoa tathmini yake juu ya game ya muziki hapa nchini sambamba na kueleza wakali wa fani hiyo ambao anawahusudu kutoka hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS