NCCR-Mageuzi walia ushirikishwaji UKAWA

Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Mosena Nyambabe akizungumza na waandishi wa habari

Viongozi wa juu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, akiwemo Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Chama hicho wameelezea kutoridhishwa na ushirikiano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS