Uundaji serikali umoja wa kitaifa iachwe kwa vyama

Mmoja wa wagombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC, Hamad Rashid Hamad ambae alikua ni mmoja ya wagombea waliojitokeza katika mdahalo huo.

Wagombea wa nafasi za urais visiwani Zanzibar wamesema wametaka kufanyiwa marekebisho kwa sheria inayotaka chama kilichoshinda kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na kuwa suala hilo liachwe kwa vyama husika kutoa maamuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS