Afisa Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati akizunzungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na sheria za makosa ya mitandao
Sheria mpya ya mtandao iliyoanza kutumika Septemba mosi mwaka huu imetajwa kuleta mafanikio kutokana na baadhi ya watu wanaotumia mitandao kinyume cha sheria hiyo kutiwa hatiani.