Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi amesema kuwa watendaji wavivu katika manispaa nyingi na serikalini ndiyo chanzo cha migogoro mingi ya ardhi hapa nchini.