Watendaji wavivu ndio chanzo cha migogoro: Lukuvi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi amesema kuwa watendaji wavivu katika manispaa nyingi na serikalini ndiyo chanzo cha migogoro mingi ya ardhi hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS