Kaimu msajili wa bodi ya maabara binafsi Dickson Majige.
Maabara za afya za binafsi na za serikali iwapo zitakuwa bora zitasaidia kutoa mchango mkubwa kufanikisha huduma za kinga na tiba, na kutumika kuweka mipango endelevu ya kutekekeza huduma za afya hapa nchini.