Black Rhino sasa asomeka nje

Staa wa muziki nchini Black Rhyno

Baada ya mwezi kupita tangu kutoka kwa ngoma yake ya kimataifa ya 'We Get It On' , staa wa muziki Black Rhyno ameeleza matunda ambayo rekodi hiyo imeleta katika muziki wake ikiwepo kueleweka zaidi ndani na nje ya mipaka ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS