Wanaume watelekeza wake zao kutokana na njaa Bahi

Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omar Badwel, akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Kigwe, Wilaya ya Bahi

Baadhi ya wanawake wa kijiji Mpinga kilichopo wilayani Bahi, mkoani Dodoma wamelalamika kutelekezwa na wanaume zao kutokana na tatizo la njaa linalokikabili kijiji hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS