Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omar Badwel, akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Kigwe, Wilaya ya Bahi
Baadhi ya wanawake wa kijiji Mpinga kilichopo wilayani Bahi, mkoani Dodoma wamelalamika kutelekezwa na wanaume zao kutokana na tatizo la njaa linalokikabili kijiji hicho.