Simba bado yazunguushwa fedha za mauzo ya Okwi. Uongozi wa klabu ya Simba umekataa ombi la klabu ya Etoile Du Sahel waliloiandikia FIFA la kusogeza mbele deni wanaloidai klabu hiyo kuhusu malipo ya mchezaji wao wa zamani Emanuel Okwi. Read more about Simba bado yazunguushwa fedha za mauzo ya Okwi.