TFF na MREFA yaandaa kozi ya makocha leseni C.

Raisi wa Shirikisho la kandanda nchini Tff Jamali Malinzi (kulia) akiwa na mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho hilo Salum Madadi (kushoto)wakizungumza na Waandishi wa Habari.

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa kushirikiana na Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya (MREFA) wameandaa kozi ya makocha wa mpira wa miguu Leseni C, itakayofanyika jijini Mbeya kuanzia Disemba 21- 04 Januari, 2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS