Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi TEC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga (OSB).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS