Tunaotoka mikoani tunakaza tuweze kuishi Dar -Joh Msanii Joh Makini ambaye ametokea mji wa Arusha amesema wasanii wengi ambao wanatoka nje ya Dar es salaam wanafanya vizuri kwenye fani kwa sababu ya majukumu yanayowakabili. Read more about Tunaotoka mikoani tunakaza tuweze kuishi Dar -Joh