Halmashauri zatakiwa kutenga sehemu za biashara
Serikali mkoani Morogoro imewaagiza viongozi wa halmashauri zote kutenga maeneo kwa ajili ya biashara za vyakula na matunda na kuwaonya wafanyabiashara wa bidhaa hizo walioko katika maeneo yasiyo rasmi kuondoka mara moja.