Halmashauri zatakiwa kutenga sehemu za biashara

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe.

Serikali mkoani Morogoro imewaagiza viongozi wa halmashauri zote kutenga maeneo kwa ajili ya biashara za vyakula na matunda na kuwaonya wafanyabiashara wa bidhaa hizo walioko katika maeneo yasiyo rasmi kuondoka mara moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS