Mitaji na Elimu changamoto za kibiashara Kigoma

Mwenyekiti wa Chama cha wafanyabiashara wenye viwanda na kilimo mkoani Kigoma (TCCIA). Ramadha Kabuga

Ukosefu wa mitaji na elimu za Kibiashara unasababisha wafanyabishara mkoani Kigoma ,kushindwa kutumia fursa za kibiashara zilizopo kutokana na kupakana na nchi za Congo DRC, na Burundi ambazo zinategemea mahitaji mengi ya bidhaa kutoka nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS