WHO kuitisha mkutano maalumu kuhusu kirusi Zika Msemaji wa WHO Christian Lindmeier Shirika la Afya Duniani, WHO limesema kesho litaitisha mkutano maalum kuhusu kirusi aina ya Zika ambapo kirusi hicho tayari kimeripotiwa kwenye nchi 20 huku Brazil ikiwa ni nchi iliyoathirika zaidi. Read more about WHO kuitisha mkutano maalumu kuhusu kirusi Zika