WHO kuitisha mkutano maalumu kuhusu kirusi Zika

Msemaji wa WHO Christian Lindmeier

Shirika la Afya Duniani, WHO limesema kesho litaitisha mkutano maalum kuhusu kirusi aina ya Zika ambapo kirusi hicho tayari kimeripotiwa kwenye nchi 20 huku Brazil ikiwa ni nchi iliyoathirika zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS