Hofu yaendelea kutanda kwa wanafunzi waliopo India
Licha ya serikali ya India kutangaza kuwa watu 5 wamekamatwa kwa kosa la kuwashambulia na kumvua nguo mwanafunzi mmoja raia wa Tanzania, hofu bado imetanda miongoni mwa takriban wanafunzi 150 wa chuo cha Acharya Kaskazini mwa Bangalore .
