Hofu yaendelea kutanda kwa wanafunzi waliopo India

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga

Licha ya serikali ya India kutangaza kuwa watu 5 wamekamatwa kwa kosa la kuwashambulia na kumvua nguo mwanafunzi mmoja raia wa Tanzania, hofu bado imetanda miongoni mwa takriban wanafunzi 150 wa chuo cha Acharya Kaskazini mwa Bangalore .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS