Serikali kuendelea kushusha kodi kwa Wafanyakazi Naibu Waziri wa Fedha na Mpingo Mhe. Ashantu Kijaji Serikali imesema imeadhimia mwaka wa fedha wa 2016/2017 kushusha kiwango cha tozo la kodi kwa mfanyakazi kutoka asilimia 11 ya hivi sasa hadi kufikia asilimia 10 kwa mwaka huo wa fedha. Read more about Serikali kuendelea kushusha kodi kwa Wafanyakazi