IMF yavutiwa na hatua za ukuaji Uchumi Tanzania
Mkuu wa Ujumbe wa Shirika la Fedha Duniani, IMF, Hervé Joly amesema Matarajio ya kiuchumi ya Tanzania yanatia matumaini sana, huku serikali ya awamu ya tano ikiwa imeahidi kulipa malimbikizo kwa wanaotoa huduma.

