Prof. Mbarawa apasua jipu jingine Bandari

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa

Makontena mengine 11884 pamoja na magari 2019 yamebainika kuwa yametolewa katika bandari ya Dar es salaam bila kufuata taratibu za ulipaji wa kodi na kulikosesha taifa mapato ya zaidi ya shilingi bilioni 49 na kuwataka wahusika walipe haraka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS