Ozil aibuka kidedea Ujerumani.

Kiungo mchezeshaji wa Arsenal na timu ya Taifa ya Ujerumani Mesut Ozil akiwa dimbani kwenye mechi za ligi kuu nchini Uingereza

kiungo mchezeshaji wa klabu ya soka ya Arsenal Mesut Ozil ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa ujerumani kwa mara ya nne ndani ya miaka mitano iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS